Hebrews 10:26-28

26 aKama tukiendelea kutenda dhambi kwa makusudi baada ya kupokea ufahamu wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi. 27 bLakini kinachobaki ni kungoja kwa hofu hukumu ya moto uwakao, utakaowaangamiza adui za Mungu. 28 cYeyote aliyeikataa sheria ya Musa alikufa pasipo huruma kwa ushahidi wa watu wawili au watatu.
Copyright information for SwhKC